.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 26 Juni 2016

WALES WATINGA KWA MBINDE ROBO FAINALI EURO 2016

Timu ya taifa ya Wales imefanikiwa kufuzu kuingia robo fainali ya Euro 2016, baada ya Gareth McAuley kujifunga goli na kuipa ushindi dhidi ya Ireland ya Kaskazini.

Ireland ya Kaskazini iliutawala mchezo huo na kuidhibiti safu ya ushambuliaji ya Wales, lakini walikosa safu bora katika ushambuliaji.

Katika mchezo huo Wales walimudu kufanya shambulizi moja tu ambalo mpira ulifika katika goli la Ireland ya Kaskazini.
Kipa wa Ireland ya Kaskazini Michael McGovern alibaki akiuangalia mpira wa goli la kujifunga la  Gareth McAuley
            Mchezaji wa kutumainiwa wa Wales Gareth Bale akikokota mpira katika mchezo huo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni