Bondia
Anthony Joshua ametetea taji lake la uzito wa juu la mkanda wa IBF,
kwa mara ya kwanza kwa kumdunda kwa KO Mmarekani Dominic Breazeale
katika raundi ya sana kwenye ukumbi wa London 02 Arena.
Mmarekani
huyo ambaye alikuwa hajapigwa katika michezo ya nyuma alianza vyema
pambano hilo, na kuhimili mashambulizi makali kutoka kwa bingwa wa
pambano hilo Muingereza Joshua ambaye sasa ameshinda kwa KO 17.
Bondia Anthony Joshua akimshambulia Dominic Breazeale
Ngumi nzito ya Anthony Joshua ikimuondolea balansi bondia Dominic Breazeale
Bondia Dominic Breazeale akiwa chini baada ya kudundwa na Anthony Joshua aliyesimama
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni