.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 15 Juni 2016

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AZISHAURI TAASISI ZA FEDHA KUPITIA UPYA RIBA INAZOTOKA KWENYE MIKOPO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akihutubia wadau wa Jumuiya ya Benki za Wananchi kutoka mikoa yote nchini (hawapo pichani), katika ukumbi wa Mikutano wa Kambarage ulioko katika Jengo la Hazina Mjini Dodoma
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Dkt. Joel Nkaya Bendera, akitoa neno la shukrani kwa Waziri Mkuu, baada ya kufungua mkutano wa wadau wa Jumuiya ya Benki za wananchi uliofanyika katika ukumbi wa Kambarage ulioko katika Jengo la Hazina mjini Dodoma
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipiga makofi baada ya kuzindua tovuti ya Jumuiya ya Benki za Wananchi katika ukumbi wa Kambarage ulioko katika jengo la Hazina mjini Dodoma
Wadau wa sekta ya Benki za Wananchi kutoka mkoani Morogoro, wakisikiliza kwa makini mada zilizotolewa kuhusu uanzishwaji wa benki hizo nchini, katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Kambarage ulioko katika Jengo la Hazina mjini Dodoma

Wadau wa sekta ya Benki za Wananchi wakisikiliza kwa makini mada zilizotolewa kuhusu uanzishwaji wa benki hizo nchini, katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Kambarage ulioko katika Jengo la Hazina mjini Dodoma
Wadau wa sekta ya Benki za Wananchi kutoka mkoani Manyara, wakisikiliza kwa makini mada zilizotolewa kuhusu uanzishwaji wa benki hizo nchini, katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Kambarage ulioko katika Jengo la Hazina mjini Dodoma
Wadau wa sekta ya Benki za Wananchi kutoka mkoani Mwanza, wakisikiliza kwa makini mada zilizotolewa kuhusu uanzishwaji wa benki hizo nchini, katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Kambarage ulioko katika Jengo la Hazina mjini Dodoma
Wadau wa sekta ya Benki za Wananchi kutoka mkoani Manyara, wakisikiliza kwa makini mada zilizotolewa kuhusu uanzishwaji wa benki hizo nchini, katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Kambarage, ulioko katika Jengo la Hazina mjini Dodoma
Washiriki wa mkutano wa Jumuiya ya Benki za wananchi uliofanyika katika ukumbi wa Kambarage ulioko katika Jengo la Hazina mjini Dodoma, wakiwa katika Picha ya pamoja na Mhe. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyekaa katikati, baada ya kufunguliwa rasmi kwa mkutano huo uliowashirikisha viongozi wa mikoa mbalimbali nchini.
Wakiri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Benki za wananchi nchini, Bi. Elizabeth Makwabe, baada ya kufunguliwa rasmi kwa mkutano huo uliowashirikisha viongozi wa mikoa mbalimbali nchini katika ukumbi wa Kambarage, Jengo la Hazina mjini Dodoma.
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Dkt. Joel Nkaya Bendera, (kushoto), akiteta jambo la Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa nje ya Jengo la Hazina Mjini Dodoma, baada ya Waziri Mkuu kufungua rasmi mkutano wa siku moja wa Jumuiya ya Benki za Wananchi uliowashirikisha viongozi wa mikoa 26 nchini.
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, (Kushoto) akibadilishana mawazo na Mkuu wa mkoa wa Singida, Mhandisi Mathew Mtigumwe, mara baada ya kufunguliwa kwa mkutano wa siku moja wa wadau wa Jumuiya ya Benki za wananchi, uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kambarage, ulioko katika jengo la Hazina Mjini Dodoma .(Picha zote na Benny Mwaipaja, WFP)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni