.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 29 Julai 2016

BI. HILLARY CLINTON AAHIDI KUWATUMIKIA WAMAREKANI WOTE

Mgombea urais Marekani Bi. Hillary Clinton, ameahidi kuwa iwapo atachaguliwa kuwa rais atakuwa rais wa Wamarekani wote waliomchagua na hata ambao hawajamchagu.

Akiongea katika hotuba yake ya kukubali kuteuliwa na chama kuwania urais, Bi.Clinton amesema Marekani inahitaji watu wote ili kuilinda na kuleta mabadiliko.

Bi. Clinton amemtuhumu mpinzani wake wa chama cha Republican, Bw. Donald Trump, kwa kupandikiza mbengu za uhasama baina ya watu.
              Bi. Hillary Clinton akiwa na mumewe rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton
                               Bi. Hillary Clinton akimkumbatia binti yake Chelsea Clinton
Bi. Clinton akiwa na furaha mno akiwapungia mikono wanachama wa chama cha Democratic

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni