.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 29 Julai 2016

MFANYABIASHARA AUWA MUME NA MKEWE KWA KUSHINDWA KULIPA DENI LA BISKUTI

Mwanaume kutoka jamii ya Dalit nchini India ameuwawa kwa kukatwa kichwa yeye na mkewe katika jimbo la Uttar Pradesh kufuatia kushindwa kulipa deni la biskuti zenye thamani ya fedha ya India rupee 15.

Polisi nchini India wamesema wanandoa hao wameuwawa na mfanyabiashara wa duka hilo hapo jana baada ya kumuambia mmiliki wake wanahitaji muda zaidi kuweza kulilipa deni hilo.

Polisi wameeleza zaidi wanandoa hao walisimamishwa na mmiliki wa duka Ashock Mishra aliyewashinikiza kulilipa deni hilo la pakiti tatu za biskuti walizowanunulia watoto wao watatu siku chache zilizopita.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni