.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 28 Julai 2016

INDONESIA KUWANYONGA WATU 14 WALIOHUKUMIWA KWA UUZAJI DAWA ZA KULEVYA

Indonesia imethibitisha kuwa itatekeleza adhabu ya kifo kwa watu 14, waliohukumiwa adhabu ya kifo kwa makosa ya dawa za kulevya wakiwemo waafrika katika siku za hivi karibuni.

Maafisa wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa wameelezea hofu yao kuhusiana na mpango huo na kuitaka serikali ya Indonesia kukomesha adhabu hiyo ya kifo ambayo haitendi haki.

Wafungwa hao waliohukumiwa adhabu ya kifo majina yao hayajatajwa, lakini imefahamika kuwa wamo raia wa Nigeria, Zimbabwe, Pakistan pamoja na India.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni