.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 22 Julai 2016

KAMPUNI YA TOTAL YAINGIA MKATABA WA MIAKA NANE YA UDHAMINI NA CAF

Shirikisho la kandanda Barani Afrika ( CAF ) limepata udhamini wa miaka minane kutoka kampuni ya mafuta ya Total ya nchini Ufaransa. 

Kuingia huko mkataba wa udhamini wa miaka nane kati ya CAF na Total, kunakuja baada ya mdhamini wa awali kampuni ya simu ya Orange na Shirikisho hilo la mpira wa miguu barani Africa kumalizika. 

Total watakuwa wadhamini wakuu katika michuano ifuatayo:-
  • Kombe la Taifa Bingwa Afrika
  • Ligi ya Klabu Bingwa Afrika
  • Kombe la Taifa Bingwa Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (CHAN)
  • Super Cup ya Afrika
  • Kombe la Mashirikisho
  • Kombe la Taifa Bingwa Afrika kwa Wanawake
  • Kombe la Futsal Afrika
  • Kombe la Taifa Bingwa Afrika wachezaji wa chini ya miaka 23
  • Kombe la Taifa Bingwa Afrika wachezaji wa chini ya miaka 20
  • Kombe la Taifa Bingwa Afrika wachezaji wa chini ya miaka 17

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni