.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 5 Julai 2016

WACHEZAJI WA WALES WAZUIWA KUWALETA WATOTO WAO UWANJANI


Wachezaji wa timu ya taifa ya Wales wameomba kutowaleta watoto wao uwanjani baada ya kufanya hivyo katika mchezo wa robo fainali ya Euro 2016, kutokana na uwanjani kutokuwa sehemu salama.

Mashabiki walionekana kufurahishwa na picha za wachezaji wa hao akiwamo Gareth Bale, Hal Robson-Kanu pamoja na Ashley Williams wakishangilia ushindi wao uliowaingiza hatua ya nusu fainali wakiwa na watoto wao.
                            Gareth Bale akifurahia ushindi na mwanae uwanjani                      
                             Hal Robson-Kanu akiwa na mwanae wakishangilia ushindi 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni