.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 28 Julai 2016

WAKURUGENZI NA WAKUU WA IDARA WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI WAPIGWA MSASA JUU YA SHERIA YA MANUNUZI

Mtoa mada Kutoka Mamlaka ya Elimu Tanzania Meneja Manunuzi, Fredy Mbeyella akitoa mada katika mafunzo ya siku tatu juu ya sheria ya manunuzi, mafunzo hayo yametolewa kwa wakurugenzi na Wakuu wa Idara wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili .
Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo ambayo yamefanyika kwa siku tatu wakisikiliza kwa makini mada zinazotolewa .
Mkuu wa Idara ya watoto Dk. Mary Charles akipokea cheti cha kuhitimu ushiriki wa mafunzo hayo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Profesa Lawrence Museru.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili-MNH- Lawrence Museru akipokea cheti kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa PSPTB mara baada ya kuhitimishwa kwa mafunzo hayo.
Kaimu Mkurugenzi wa MNH Profesa Lawrence Museru akimkabidhi cheti Mwenyekiti wa Bodi ya Wazabuni wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dk . Faraja Chiwanga.
Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya dharura na ajali MNH Dk. Juma Mfinanga akikabidhiwa cheti cha ushiriki wa mafunzo hayo ambayo yamehitimishwa leo.
Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Profesa Museru akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wote mara baada ya kuhitimishwa kwa mafunzo hayo ambayo yametolewa na PSPTB.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni