.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 23 Julai 2016

WAYNE ROONEY AIPONGEZA FA KWA KUMTEUWA KOCHA SAM ALLARDYCE

Kapteni wa Uingereza Wayne Rooney amesema chama cha soka Uingereza FA kimefanya uteuzi mzuri kwa kumchagua kocha Sam Allardyce kukinoa kikosi cha taifa hilo.

Allardyce, 61, amesaini mkataba wa awali wa miaka miwili baada ya Chama cha Soka Uingereza kukubali kuilipa fidia klabu ya Sunderland.

Mshambuliaji huyo wa Manchester United, Rooney ambaye anaongoza kwa kuifungia magoli mengi timu ya taifa alikuwa katika kikosi kilichotolewa katika michuano ya Euro 2016.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni