.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 27 Agosti 2016

BAYERN MUNICH YAANZA BUNDESLIGA KWA KUTOA ONYO KALI

Robert Lewandowski amefunga magoli matatu 'hat-trick' wakati Bayern Munich ikiichakaza Werder Bremen kwa magoli 6-0 katika mchezo wao wa kwanza wa ligi ya Bundesliga.

Mabingwa hao watetezi wa ligi hiyo wanaonolewa na Carlo Ancelotti walipata goli la kwanza safi katika dakika ya tisa kupitia kwa Xabi Alonso.

Kisha mshambuliaji raia wa poland Lewandowski ndipo alipoanza kuonyesha makali yake ya kucheka na nyavu baada ya kupita dakika akiunganisha pande la Franck Ribery. 
                                                        Xabi Alonso akiifungia Bayern Munich goli
                 Robert Lewandowski akifunga goli lake la tatu kwa mkwaju wa penati

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni