.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 27 Agosti 2016

ITALIA YAOMBOLEZA VIFO VYA WATU WALIOKUFA KWA TETEMEKO LA ARDHI

Maombolezo ya kitaifa yameanza nchini Italia kufuatia vifo vya watu wapatao 300, ambao wamekufa kwa tetemeko kubwa la ardhi lililotokea kwenye mikoa ya eneao la milimani.

Waziri Mkuu wa Italia Matteo Renzi anatarajia kuhudhuria mazishi ya kitaifa kwa watu waliokufa huko Arquata, amboa ni moja ya miji iliyoathiriwa vibaya na tetemeko la ardhi.

Hali ya tahadhari imetangazwa katika maeneo yaliyodhurika na kiasi cha fedha cha paundi milioni 42 kimeahidiwa kujenga upya majengo yaliyoharibika.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni