.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 27 Agosti 2016

MAMIA WAMZIKA MWANDISHI SEIF HASSAN, PEMBA

                                                                         Mwandishi Seif Hassan enzi za uhai wake
MAMIA ya wananchi, Waandishi wa habari wakiwa wameubeba mwili wa Marehemu mwandishi wa Habari wa Radio Jamii Mkoani na Mwanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa Habari Time School and Journalism (TSJ)Tawi la Pemba, Seif Hassan Mohamed kuupeleka katika makazi yake ya Mwisho.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAUMINI mbali mbali wa Dini ya Kiislamu wakimswalia Marehemu Seif Hassan Mohamed, aliyefariki dunia baada ya kupata ajali jana majira ya saa moja na nusu usiku huko Mkoani(Picha na Haji Nassor, PEMBA.)
SHEKH Salmin Sheha Ussi, akiwaongoza wananchi katika mazishi ya Mwandishi wa habari wa Radio Jamii Mkoani Seif Hassan Mohamed, aliyefariki dunia jana usiku na kuzikwa kijijini kwao Stahabu Mkanyageni Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)



WANANCHI mbali mbali Kisiwani Pemba wakifukia kwa mikono kaburi la Mwandishi wa Habari wa Radio Jamii Mkoani Sif Hassan Mohamed, aliyefariki dunia jana Usiku na kuzikwa huko kijijini kwao Stahabu Mkanyageni Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni