Timu ya taifa ya Brazil imerejea
kwenye mazoezi jana kujiandaa na mchezo ambao ni lazima washinde
dhidi ya Denmark baadaye wiki hii katika michuano ya Olimpiki.
Ikiwa imeshabanwa mara mbili na
kulazimishwa sare ya magoli mawili na timu ndogo za Afrika Kusini na
Irak katika michezo ya awali ya ufunguzi, Neymar na wenzake wapo hati
hati kuondolewa.
Wenyeji Brazil walianza michuano
hiyo kama taifa linalopewa nafasi kubwa ya kutwaa medali ya dhahabu
ya mchezo wa soka katika taifa hilo linalojivunia kwa historia ya
mpira.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni