.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 24 Agosti 2016

CHELSEA YASONGA MBELE KOMBE LA EFL

Mshambuliaji Michy Batshuayi amefunga mara mbili na kuisaidia Chelsea kutinga mzunguko wa tatu wa kombe la EFL kwa ushindi wa magoli 3-1 dhidi ya Bristol Rovers.

Mchezaji huyo aliyesainiwa kwa kitita cha paundi ya milioni 33 akitokea Marseille aliifungia Chelsea goli la kwanza a kisha Victor Moses kuongeza la pili dakika mbili baadaye.
                 Michy Batshuayi akiifungia Chelsea goli la kwanza katika mchezo huo
                              Victor Moses akiifungia Chelsea goli la pili katika mchezo huo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni