.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 24 Agosti 2016

TETEMEKO KUBWA LA ARDHI LAUWA WATU WAPATAO 10 NCHINI ITALIA

Tetemeko la ardhi limetokea katika enao la kati la Italia na kuuwa watu wapatao 10 na wengine kadhaa wamefunikwa na vifusi.

Tetemeko hilo lenye ukupwa wa kipimo cha alama 6.2 limetokea kusini mashariki mwa mji wa Perugia.
                                Mtu akiangua kilio akiwa juu ya kifusi cha jengo lililoanguka
                              Polisi na vikosi vya uokoaji vikiwa vimeubeba mwili wa mtu 
Vikosi vya uokoaji vikimuokoa mwanamke aliyekwama juu ya jengo lililoathiriwa na tetemeko

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni