.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 31 Agosti 2016

CHRIS BROWN AKAMATWA NA POLISI KWA KUMTISHIA NA SILAHA MWANAMKE

Mwanamuziki, Chris Brown, amekamatwa kwa tuhuma za kumtishia mwanamke kwa kutumia silaha baada ya mwanamke huyo kutoa taarifa hiyo polisi.

Mrembo huyo, Baylee Curran, ameliambia gazeti la LA Times kuwa Brown alimuonyeshea silaha usoni baada ya kushangaa mkufu wa madini wa rafiki yake.

Mwanamuziki huyo alitoka nje na kukamatwa na polisi baada ya tukio hilo lililotokea siku ya jumanne.

Chris Brown amewahi kutiwa hatiani mara kadhaa kwa kufanya fujo, ikiwemo shambulizi la mwaka 2009 kwa aliyekuwa mpenzi wake Rihanna.
                                                           Chris Brown akiwa amenyanyua mikono juu 
                                                         Polisi wakimsachi Chris Brown na rafiki yake
Mrembo Baylee Curran, anayedai kutishiwa maisha yake kwa mtutu wa bunduki na Chris Brown

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni