.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 31 Agosti 2016

MUIGIZAJI LUPITA NYONG'O HADHARANI NA RAFIKI YAKE MPYA WA KIUME

Muigizaji filamu, Lupita Nyong'o, ameungana na baadhi ya mastaa kushangilia mchezo wa tenesi katika michuano ya wazi ya Marekani, Jijini New York.

Mshindi huyo wa tuzo ya Oscar aliambatana na rafiki yake wa kiume mhariri wa jarida ya mitindo la GQ, Mobolaji Dawodu, wakimuangalia Serena Williams akicheza.

Pia michuano hiyo ya wazi ya Marekani jana ilihudhuriwa na mhariri mkuu wa jarida la Vogue, Anna Wintour na muigizaji Kevin Spacey.
              Mobolaji Dawodu akiwa na Lupita Nyong'o wakifuatilia mchezo wa tenesi 
          Serena Williams akichuano dimbani katika michuano ya wazi ya tenesi Marekani

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni