.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 16 Agosti 2016

DAVID RUDISHA ATETEA UBINGWA WA OLIMPIKI KWA MBIO ZA MITA 800

David Rudisha amekuwa mwanariadha wa kwanza tangu Peter Snell wa New Zealand kutwaa mara mbili medali ya dhahabu katika mbio za mita 800 katika michuano ya Olimpiki mwaka 1964.

Rudisha raia wa Kenya aliongoza mbio hizo zikiwa katika umbali wa kilomita 300, baada ya Mkenya mwenzake Alfred Kipketer kuongoza katika mzunguko wa kwanza.

Katika mbio hizo Rudisha alimaliza kwa kutumia sekunde 42.15, mbele ya Taoufik Makhloufi wa Algeria na Mmarekani Clayton Murphy.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni