.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 28 Agosti 2016

DOGO MARCUS RASHFORD AIPATIA USHINDI MAN U KATIKA DAKIKA ZA MWISHO

Dogo Marcus Rashford akitokea benchi amefunga goli la dakika za majeruhi na kuisaidia Mnchester United kupata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Hull City katika dimba la KCOM.

Mchezaji huyo mwenye miaka 18, akishuka mara ya kwanza dimbani katika msimu huu, aliunganisha wavuni krosi iliyopigwa na Wayne Rooney na kuibua shamrashamra.

Katika mchezo huo Manchester United, ilikuwa inashahili ushindi ambapo wachezaji wake Rooney, Zlatan Ibrahimovic na Paul Pogba walikosa kosa magoli.
        Dogo Marcus Rashford akipachika wavuni mpir wa krosi ya Wayne Rooney
         Shuti la Wayne Rooney likiokolewa katika mstari na mchezaji wa Hull City

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni