Winga
Yannick Bolasie amekuwa mchezaji wa nne kujiunga na Everton katika
majira ya joto, akimwaga wino katika mkataba wa miaka mitano kukaa
Goodison Park.
Bolasie
amejiunga na Everton kwa makubaliano ya ada inayofikia paundi milioni
30 baada ya kuiarifu Crystal Palace kuwa anataka kuondoka.
Winga Yannick Bolasie akifanyiwa vipimo na klabu ya Everton


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni