.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 15 Agosti 2016

RAIS EDGER LUNGU ACHAGULIWA TENA KUWA RAIS WA ZAMBIA

Rais wa Zambia Edger Lungu amechaguliwa tena kuwa rais, tume ya uchaguzi ya nchi hiyo imetangaza matokeo hayo ambayo yamepingwa na wapinzani.

Tume ya Uchaguzi Zambia imesema Lungu amepata kura asilimia 50.35, baada ya uchaguzi huo uliofanyika Alhamisi, ikiwa ni zaidi ya asilimia 50 zilizohitajika kwa mujibu wa sheria.

Mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema, ambaye alidai kufanyika kwa udanganyifu katika upigaji kura amepata kura asilimia 47.67.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni