Mahakama
nchini Afrika Kusini imemuhukumu kifungo cha miaka 10 jela mwanamke
mmoja aliyemuiba mtoto kutoka katika kitanda cha hospitali miaka 19
iliyopita na kumlea kama mtoto wake.
Mwanamke
huyo mwenye umri wa miaka 51 alikamatwa mwaka 2015 baada ya kubaini
kufanana baina ya mtoto huyo wa kike Zephany Nurse na mtoto mwingine
wa kike katika shule moja.
Zephany akiwa na mama yake mzazi hospitali kabla ya kuibiwa mwaka 1997
Wazazi halisi wa Zephany wakikumbatiana baada ya kutolewa kwa hukumu hiyo



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni