.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 22 Agosti 2016

GARETH BALE AIONGOZA REAL MADRID KUPATA USHINDI

Mshambuliaji Gareth Bale ametumia sekunde 72 kufunga goli lake la kwanza kwa msimu huu na kisha kuongeza la pili wakati Real Madrid ikiifunga Real Sociedad kwa mgoli 3-0 katika mchezo wa La Liga.

Mchezaji Marco Asensio, 20, naye alifunga goli akionekana kuongozwa vyema na Bale na kuifanya Real Madrid kutoonekana kumkosa mshambuliaji wake nyota Cristiano Ronaldo ambaye hakushuka dimbani.
                       Gareth Bale akiruka juu na kupiga mpira wa kichwa uliojaa wavuni
          Beki Markel Bergara akiteleza na kumkata buti Mateo Kovacic wa Real Madrid

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni