Mshambuliaji Gareth Bale ametumia
sekunde 72 kufunga goli lake la kwanza kwa msimu huu na kisha
kuongeza la pili wakati Real Madrid ikiifunga Real Sociedad kwa mgoli
3-0 katika mchezo wa La Liga.
Mchezaji Marco Asensio, 20, naye
alifunga goli akionekana kuongozwa vyema na Bale na kuifanya Real
Madrid kutoonekana kumkosa mshambuliaji wake nyota Cristiano Ronaldo
ambaye hakushuka dimbani.
Gareth Bale akiruka juu na kupiga mpira wa kichwa uliojaa wavuni
Beki Markel Bergara akiteleza na
kumkata buti Mateo Kovacic wa Real Madrid



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni