.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 15 Agosti 2016

HALI YA TAHARUKI YAUKUMBA UWANJA WA NDEGE WA JOHN F. KENNEDY

Abiria katika uwanja wa ndege wa Kimataifa John F. Kennedy waliamriwa na polisi kujificha katika kitu chochote jana usiku baada ya kutolewa ripoti tata ya kutokea mlio wa risasi.

Kila abiria aliamuriwa kutoka katika lango la nane la uwanja huo, wengine kuelekezwa kwenye njia za kurukia ndege, wakati polisi wakimtafuta mtu huyo mwenye silaha ambaye hakuwepo.

Mmoja wa abiria amesema alisikia polisi akitoa amri ya kuwaambia “iwapo umesahau kuchukua kituchochote, achana nacho hakina thamani ya maisha yako, kimbia”.
Baadhi ya abiria wakiwa kwenye njia ya kurukia ndege baada ya kuamuriwa na polisi kufanya hivyo
  Abiria katika uwanja wa ndege wa John. F. Kennedy wakiwa katika hali ya kutaharuki

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni