.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 29 Agosti 2016

IVAN RAKITIC AIPATIA BARCELONA POINTI TATU MUHIMU

Mchezaji Ivan Rakitic ameipatia Barcelona ushindi muhimu baada ya mshambuliaji Luis Suarez kushindwa kuonyesha makali yake katika mchezo dhidi ya Athletic Bilbao.

Ivan Rakitic aliifungia Barcelona goli pekee katika mchezo huo mnamo dakika 21, akiunganisha kwa kichwa mpira wa krosi uliopingwa na Luis Suarez.
                              Luis Suarez akifanya vitu vyake licha ya kushindwa kufunga goli
             Beki wa Athletic Bilbao akimshika jezi Lionel Messi ili asikatize na kuleta madhara

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni