.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 29 Agosti 2016

RAPA DRAKE ABAINISHA KUWA ALIMZIMIA RIHANNA TANGU AKIWA NA MIAKA 22

Rapa Drake amebainisha mbele ya dunia kuwa alikuwa anampenda Rihanna tangu akiwa na umri wa miaka 22, kauli ambayo ameitoa wakati akimkabidhi Rihanna tuzo ya video ya Michael Jackson ya Vanguard jana usiku.

Rapa huyo mwenye umri wa miaka 29, ambaye amekuwa akihusishwa kimapenzi na mwanamuziki Rihanna, amebainisha hilo wakati akiwa jukwani akiwa amevalia suti aina ya tuxedo akiwa na tuzo hiyo mkononi.
                               Rihanna na Drake wakipozi pamoja baada ya kumpatia tuzo hiyo
      Drake akimshika mkono mpenzi wake Rihanna wakiondoka jukwaani baada ya kumpatia tuzo
                              Rihanna akitumbuiza katika hafla ya utoaji wa tuzo hizo za MTV
                          Rihanna alitumbuiza nyimbo mbalimbali katika tuzo hizo za MTV

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni