.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 18 Agosti 2016

JOSE MOURINHO KUMSHUSHA DIMBANI PAUL POGBA KESHO KWA MARA YA KWANZA

Kocha Jose Mourinho ameridhia, Paul Pogba, kuichezea kwa mara ya kwanza Manchester United baada ya kujiunga tena na klabu hiyo ambapo kesho atakuwa kwenye kikosi kitakachovaana na Southampton.

Mfaransa Pogba, 23, aliyehamia Old Trafford kwa kitita cha paundi milioni 100 amefanya mazoezi na Manchester United kwa muda wa chini ya wiki mbili, akitokea mapumzikoni Marekani baada ya kumalizika michuano ya Euro 2016 nchini Ufaransa.
             Paul Pogba akifurahi jambo wakati wa mazoezi akiwa na Manchester United

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni