.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 19 Agosti 2016

MWANARIADHA MJAMAICA USAIN BOLT ATWAA MEDALI YA DHAHABU MITA 200

Mwanariadha Mjamaica Usain Bolt ametwaa medali yake ya nane ya dhahabu katika michuano ya Olimpiki na kuendelea kuonyesha ubabe wake katika Olimpiki Rio baada ya kushinda mbio za mita 200.

Hata hivyo ushindi huo wa Usain Bolt aliyetumia muda wa sekunde 19.78, haukumfurahisha kutokana na kushindwa kuvunja rekodi ya muda wa kumaliza.

Bolt amebakiza mbio moja za mita 100 kwa watu wanne kupokezana kijiti, na kuweka rekodi kuwa mwanariadha wa kwanza kushinda mbio za aina tatu mara tatu katika michuano ya Olimpiki.
                             Mwanariadha Usain Bolt akielekea kumaliza mbio za mita 200
Mwanariadha Usain Bolt akipiga Selfie na mashabiki waliojitokeza kushuhudia mbio hizo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni