.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 25 Agosti 2016

KIPA JOE HART AISAIDIA MANCHESTER CITY KUTINGA MTOANO LIGI YA MABINGWA

Kipa Joe Hart ameisadia Manchester City kutinga hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa wakati akiichezea kwa mara ya mwisho klabu hiyo katika usiku huo maalum.

Hart, 29, aliachwa kikosini na kocha Pep Guardiola katika michezo mitatu ya kwanza ya klabu hiyo msimu huu, alivaa kitamba cha unahodha wakati akiicheza kwa mara ya kwanza timu hiyo.

Wakati wa mchezo huo kunawakati katika kipindi cha pili uwanja wa Etihad ulisikika sauti zikisema “Simama juu kama unampenda Joe Hart”.
        Shabiki wa Manchester City akiwa na bango lenye ujumbe maalum kwa Joe Hart 
Mashabiki wa Manchester City wakisimama katika kuonyesha heshima kwa mchango aliotoa kipa Joe Hart kwa timu hiyo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni