.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 25 Agosti 2016

MTOTO WA KIKE WA MIAKA 7 AKUTWA HAI KWENYE KIFUSI BAADA YA SAA 17 KUPITA

Katika hali isiyo ya kawaida waokoaji wamefanikiwa kumuokoa mtoto wa kike wa miaka 7 aliyenasa kwenye kifusi cha nyumba akiwa kichwa chini baada ya kupita saa 17 tangu kutokea kwa tetemeko la ardhi nchini Italia.

Waokoaji walijikuta wakishangilia kwa furaha huku wakipaza sauti zao wakisema “yupo hai' wakati wakimchomoa kwenye kifusi bindi huyo, kufuatia tetemeko la ardhi lililokwisha uwa watu 247 na kujeruhi wengine wengi.
           Waokoaji wakiendelea na kazi ya kutafuta watu waliofukiwa kwenye vifusi
                        Waokoaji wakimchomoa mtu aliyekuwa amekwama kwenye vifusi
                                     Waokoaji wakimvuta mtu mwingine kutoka kwenye vifusi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni