Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipowasili wenye soko kuu la kimataifa la Mwanjelwa jijini Mbeya kulikagua
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua soko la Kimataifa la Mwanjelwa jijini
Mbeya Agost9, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua soko la Kimataifa la Mwanjelwa jijini Mbeya Agosti 9, 2016. Kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Amos Makalla. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi baada ya kutembelea soko
jipya la kimataifa la Mwanjelwa jijini Mbeya, Agosti 9, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiagana na viongozi wa serikali
kabla ya kuondoka kwenye uwanja wa ndege wa Songwe Mbeya kurejea Dar
es salaam Agosti 9, 2016. Kulia ni Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt.
Harrison Mwakyembe na wapili kulia ni Mkuu wa mkoa wa Rukwa Zelote
Stephene. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni