.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 9 Agosti 2016

ONGEZEKO LA JOTO LAPUNGUZA UPATIKAJI WA SAMAKI KATIKA ZIWA TANGANYIKA

Utafiti mpya umelaumu ongezeko la joto kwa karne moja iliyopita kuwa ni chanzo cha kushuka kwa mavuno ya uvuvi katika moja ya ziwa muhimu kwa uvuvi duniani.

Ziwa hilo ambalo ni Ziwa Tanganyika ni miongoni mwa maziwa ya muda mrefu Afrika ambalo samaki ni mlo muhimu kwa mataifa ya jirani na ziwa hilo.

Hata hivyo mavuno ya samaki yamepungua katika miongo ya hivi karibuni wakati uvuvi wa kibiashara ukiongezeka.

Hata hivyo utafiti huo mpya umesema ongezeko la joto ndio chanzo kikuu cha tatizo la kupungua samaki Ziwa Tanganyika na wala si ongezeko la uvuvi wa samaki.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni