.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 17 Agosti 2016

MASHINDANO YA TIGO DANCE LA FIESTA YAFANYIKA JIJINI MWANZA

Jaji Jackline Cliff akitoa maelekezo kwa mojawapo ya kikundi kilichoshiriki shindano la Tigo dance la Fiesta jijini mwanza leo, Jumla ya vikundi nane vilichuana.
Kikundi cha Mirambo kikionyesha cheche zake
Kikundi cha TYT kikiwa mzigoni ndani ya ukumbi wa Villa Park
Kikundi cha Team Maximum japo hawakushinda ila walionyesha umahiri mkubwa
 Vikundi vya Scorpion na warriors vikichuana vikali uso kwa uso kuonyesha nani zaidi kati yao kwenye mashindano ya Tigo Dance la Fiesta.
                 Sehemu ya mashabiki wakifuatilia michuano hiyo Tigo Dance la Fiesta


Meneja wa Masoko Tigo kanda ya ziwa, Alli Mashauri akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa shindano la tigo dance la fiesta, kikundi cha scorpion waliojishindia kitita cha shilingi milioni moja leo jijini Mwanza.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni