.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 17 Agosti 2016

SERGIO AGUERO APIGA HAT-TRICK HUKU AKIKOSA PENATI MBILI

Sergio Aguero amefunga magoli matatu yaani hat-trick wakati Manchester City ikiichakaza magoli 5-0 Steaua Bucharest katika mchezo wa kwanza wa kuwania kufuza Ligi ya Mabingwa.

Aguero pia alikosa penati mbili katika mchezo huo, ya kwanza iliokolewa na kipa na ya pili alipaisha mpira, huku David Silva akifunga goli la kwanza katika dakika ya 13.

Sergio Aguero alifunga goli lake la kwanza na kufanya matokeo kuwa 2-0 na kuongeza mengine mawili baada mchezaji mpya wa Manchester City Nolito kufunga goli la tatu.
                                   Sergio Aguero akikosa moja ya penati mbili alizochemsha
                                 Mshambuliaji Nolito akiifungia Manchester City goli la tatu
         Sterling alikuwa katika kiwango bora na kusaidia kupatikana kwa magoli mawili

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni