.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 12 Agosti 2016

MILIPUKO YA MABOMU ILIYOLENGA MAENEO YA UTALII THAILAND YAUWA WATU WANNE

Watu wanne wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia milipuko ya mfululizo iliyoratibiwa iliyolenga maeneo ya utalii nchini Thailand.

Watalii walilazimika kuwakimbia washambuliaji baada ya milipuko miwili kutokea katika eneo la hoteli ya Hua Hin jana usiku na kuuwa mwanamke mmoja raia wa Thailand na kujeruhi wengine 21.
             Wanajeshi wakimpatia msaada mtalii aliyejeruhiwa katika milipuko hiyo
 Watalii waliojawa na hofu wakiwa na mwanajeshi aliyekuwa akiwapa maelezo na kuwatuliza



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni