.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 12 Agosti 2016

KOCHA WA KENYA ALIYEJIFANYA KUWA MWANARIADHA RIO NA KUFANYIWA VIPIMO AREJESHWA NYUMBANI

Kocha ya wanamichezo wa riadha wa Kenya waliopo Rio nchini Brazil amerudishwa nyumbani baada ya kujifanya ni mwanariadha na kutoa sampuli ya haja ndogo kwa ajili ya vipimo.

Kenya imesema kocha huyo John Anzrah alijifanya ni mwanariadha wa mbio za mita 800 Ferguson Rotich na kutia saini nyaraka za vipimo vya kubaini matumizi ya dawa zilizopigwa marufuku.

Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Olimpiki Kip Keino amesema kuwa kamati yake haiwezi kuvumilia kitendo hicho alichokifanya kocha huyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni