.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 13 Agosti 2016

MKUU WA WILAYA CHAKECHAKE ATEMBELEA ENEO LA IDARA YA KILIMO PEMBA

Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, akitembelea eneo la Idara ya Kilimo ambalo Wananchi wanaiomba Idara kuwawekea njia ya kupita kabla ya kumaliza zoezi la uwekaji wa Uzio ili kudhibiti eneo la Idara hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, Salama Mbarouk Khatib , akionesha eneo linalolalamikiwa na Wananchi wa kijiji cha Wara karibu na Idara ya Kilimo Wawi-Pemba.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni