.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 24 Agosti 2016

MSICHANA RAIA WA UINGEREZA AUWAWA KWA KUPIGWA KISU NCHINI AUSTRALIA

Msichana wa miaka 21 raia wa Uingereza ameuwawa baada ya kushambuliwa kwa kisu mbele ya watu 30 katika kambi ya hosteli moja nchini Australia.

Katika tukio hilo mwanaume mmoja wa miaka 30 raia wa Uingereza pia alijeruhiwa vibaya baada ya kushambuliwa karibu na mji wa Townsville, huko Queensland.

Polisi wanachunguza iwapo mtu anayedaiwa kufanya mashambulizi hayo amesukumwa na hisia za makundi ya misimamo mikali baada ya kusikika akisema “Allahu Akbar”.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni