.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 15 Agosti 2016

MTATURU: JESHI LA POLISI HALIPASWI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na usalama Wilaya ya Ikungi Miraji Jumanne Mtaturu akizungumza na askari wa Jeshi la polisi mara baada ya ziara yake katika makao makuu ya Wilaya hiyo eneo la Ikungi.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Miraji Jumanne Mtaturu akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Kituoni hapo.
Dc Mtaturu akikagua chumba cha mahabusu kituoni hapo
Askari watiifu wa Jeshi la Polisi Wilayani Ikungi waliposimama kutoa heshima zao kwa Mkuu wa Wilaya ya Ikungi alipotembelea katika ofisi yao

Dc Mtaturu akikagua maeneo mbalimbali katika viunga vya Jeshi la Polisi Mkao Makuu Wilayani Ikungi
Askari watiifu Wilayani Ikungi wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama Wilaya Ya Ikungi Dc Miraji Jumanne Mtaturu


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni