Hamasa hiyo inadhihirika wazi kupitia kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya wakulima maarufu zaidi kama nanenane mwaka 2016 inayosema KILIMO MIFUGO NA UVUVI NI NGUZO YA MAENDELEO, VIJANA SHIRIKI KIKAMILIFU “HAPA KAZI TU” ambapo kitaifa yataadhimishwa mkoani Morogoro.
Jumatano, 3 Agosti 2016
NANE NANE 2016 YAHAMASISHA VIJANA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA KUFANYA KAZI
Hamasa hiyo inadhihirika wazi kupitia kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya wakulima maarufu zaidi kama nanenane mwaka 2016 inayosema KILIMO MIFUGO NA UVUVI NI NGUZO YA MAENDELEO, VIJANA SHIRIKI KIKAMILIFU “HAPA KAZI TU” ambapo kitaifa yataadhimishwa mkoani Morogoro.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni