.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 18 Agosti 2016

PICHA YA MTOTO ALIYEOKOLEWA YAONYESHA UKALI WA VITA VYA SYRIA

Hali ya kuogopesha inayoanisha janga katika vita vya nchini Syria imejionyesha katika picha moja iliyopigwa ikimuonyesha mtoto aliyejeruhiwa.

Picha hiyo inamuonyesha mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 5, aliyekuwa amekaa kwenye kiti cha gari la wagonjwa baada ya mashambulizi nyumbani kwao Aleppo, huku hatma ya wazazi wake walipo ikiwa haijulikani.

Akiwa amejaa mavumbi mwili mzima baada ya kuokolewa kwenye vifusi vya nyumba yao iliyoshambuliwa katika eneo moja la Omran Daqneesh, uso wa mtoto huyo uliokuwa ukitiririka damu huku akiwa ameduwaa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni