.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 30 Agosti 2016

SERGIO AGUERO AACHWA KATIKA KIKOSI CHA ARGENTINA

Mshambuliaji wa Manchester City Sergio Aguero ameachwa katika kikosi cha Argentina cha kuwania kufuzu kombe la dunia mwaka 2018 kutokana na kuwa majeruhi.

Chama cha Soka cha Argentina kimethibitisha kuwa Aguero alipata jeraha katika mchezo wa ligi ambao City ilishinda magoli 3-1 dhidi ya West Ham jumapili.

Haijaelezwa ni lini Aguero ataitwa tena kikosini, pia kwa upande mwingine huenda akakabiliwa na adhabu ya FA kwa kumpiga kiwiko beki wa West Ham, Winston Reid.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni