.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 29 Agosti 2016

WAINGEREZA WASHEREHEKEA SIKUKUU YA BANK KWA KULEWA CHAKARI HADI AIBU


Picha za kushangaza zimepigwa wakati baadhi ya Waingereza walipokuwa wakisherehekea sikukuu ya Bank usiku wa jana baada ya kulewa chakari wakitokea kwenye pub na klabu Jijini Newcastle.

Wengi wa waliokuwa wamelewa walionekana kuzidiwa na kilevi na kupoteza fahamu, wengine wakijisaidia ovyo mitaani na kutapika, pia kunao waliokamatwa na polisi na walioonekana wakichuruzika damu.
Mwanaume akiwa haelewi cha kufanya baada ya mwanamke wake kuzima kwa kilevi na kulala chini mtaani
    Hawa nao hawana jinsi zaidi ya kukaa na shosti wao aliyezidiwa na kileo na kulala chini
                         Polisi wakimfunga pingu mtu aliyelewa chakari waliyemkuta mitaani
                                                      Huyu naye aliwekwa chini ya ulinzi na polisi


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni