Utafiti uliofanywa umebaini kuwa
tambi za Ramen zimeipiku tumbaku kwa kuwa bidhaa ghali zaidi kwenye
magereza nchini Marekani.
Utafiti umesema kuwa mabadiliko hayo
yanatokana na kushuka kwa kiwango na ubora wa chakula kinachotolewa
magerezani.
Kutokana na kuwa ni za bei nafuu,
zenye ladha na zenye wanga mwingi tambi za Ramen zimekuwa na thamani
mno katika magereza ya Marekani kiasi ya wafungwa kubadilishana na
vitu vingine ili kuzipata.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni