.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 23 Agosti 2016

TAMBI ZAWA BIDHAA GHALI ZAIDI KULIKO TUMBAKU MAGEREZANI MAREKANI

Utafiti uliofanywa umebaini kuwa tambi za Ramen zimeipiku tumbaku kwa kuwa bidhaa ghali zaidi kwenye magereza nchini Marekani.

Utafiti umesema kuwa mabadiliko hayo yanatokana na kushuka kwa kiwango na ubora wa chakula kinachotolewa magerezani.

Kutokana na kuwa ni za bei nafuu, zenye ladha na zenye wanga mwingi tambi za Ramen zimekuwa na thamani mno katika magereza ya Marekani kiasi ya wafungwa kubadilishana na vitu vingine ili kuzipata.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni