WAZIRI MWIGULU NCHEMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (kushoto) akizungumza na Balozi wa Uturuki nchini, Yasemin Eralp masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na Uturuki. Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Waziri Mwigulu, jijini Dar es Salaam leo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (kushoto) akimsikiliza Balozi wa Uturuki nchini, Yasemin Eralp alipomtembelea ofisini kwake, jijini Dar es Salaam leo, kwa lengo la kujadiliana masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na Uturuki. Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Waziri Mwigulu, jijini Dar es Salaam leo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (kulia) akimkaribisha ofisini kwake, jijini Dar es Salaam, Balozi wa Uturuki nchini, Yasemin Eralp kwa ajili ya kufanya mazungumzo kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na Uturuki. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni