.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 13 Agosti 2016

XHERDAN SHAQIRI NA ERICK LAMELA WAZIOKOA TIMU ZAO NA KULAZIMISHA SARE

Mpira wa adhabu uliopigwa na Xherdan Shaqiri umeipatia Stoke City pointi moja na kuinyima ushindi waliostahili timu ya Middlesbrough katika wa Ligi Kuu ya Uingereza.

Boro walikuwa wanaongoza baada ya kuwashusha dimbani wachezaji wake wawili kati ya 10 waliowasajili baada ya kupanda daraja, na alikuwa Alvaro Negredo aliyeandika goli la kwanza.
  Xherdan Shaqiri akishangilia kwa aina yake goli la alilofungwa kwa mpira wa adhabu na kuisawazishia Stoke City
Katika mchezo mwingine mpira wa kichwa uliopigwa na Erik Lamela katika kipindi cha pili uliipatia pointi moja Tottenham dhidi ya Everton ambao wameonyesha kuvutia wakiwa chini ya kocha Ronald Koeman.

Everton walianza kwa kuishambulia sana Spurs ambayo ilionekana kupwaya katika kipindi cha kwanza na kupata goli la kuongoza kupitia mpira wa adhabu uliopigwa na Ross Barkley.
                  Mpira wa adhabu uliopigwa na Ross Barkley ukimshinda kipa Hugo Lloris

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni