.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 22 Septemba 2016

BARCELONA YABANWA NA ATLETICO MADRID KATIKA MCHEZO WA LA LIGA

Barcelona imeshindwa kupunguza pengo na vinara wa La Liga Real Madrid baada ya kulazimishwa sare ya goli 1-1 na Atletico Madrid.

Baada ya kushindwa kuipenya ngome ya Atletico kwa pasi, wenyeji Barcelona walipata goli la kuongoza kupitia kwa Ivan Rakitic akiunganisha kwa kichwa krosi ya Andres Iniesta.

Katika mchezo huo Lionel Messi alilazimika kutoka nje baada ya kuumia na Atletico walitumia fursa hiyo kwa kusawazisha kupitia kwa Angel Correa.
                             Ivan Rakitic akiwa amepiga mpira wa kichwa uliotinga wavuni 
Lionel Messi akigugumia maumivu baada ya kuumia ambapo imeelezwa atakuwa nje ya dimba kwa muda wa wiki tatu hivi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni