.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 1 Septemba 2016

BASTIAN SCHWEINSTEIGER ATOKWA NA MACHOZI AKIAGA KUICHEZEA TIMU YA TAIFA YA UJERUMANI

Mjerumani Bastian Schweinsteiger amejikuta akibubujikwa na machozi wakati umati wa mashabiki ukimuaga katika mchezo wake wa mwisho kuichezea timu ya taifa ya Ujerumani.

Mchezaji huyo wa Manchester United ameacha rasmi jana kuicheza timu ya taifa ya Uingereza baada ya kuicheza mechi 121.

Katika mchezo huo wa jana dhidi ya Finland, Ujerumani inayonolewa na kocha Joachim Low ilishinda kwa magoli 2-0.
   Bastian Schweinsteiger akibebwa na kurushwa juu na wachezaji wenzake wa Ujerumani
                  Bastian Schweinsteiger akiwa amekumbatiana na kocha Joachim Low

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni