Ibada ya ndoa hiyo imefanyika katika Kanisa hilo na kuuongozwa na Mchungaji Kiongozi, Dkt.Daniel Moses Kulola. Tafrija inafanyika jioni kwenye ukumbi wa Maendeleo House uliopo Iloganzara Jijini Mwanza.
"Mungu akasema; Si vyema mtu huyu awe peke yake, Nitamfanyia mtu wa kufanana naye". Mwanzo 2:18 .Na BMG
Bwana harusi akifanya utambuzi wa mkewe, kabla ya ndoa kufungwa
Maharusi wakiingia kanisani
Maharusi wamependeza vyema
Ujumbe umepokelewa duniani na mbinguni.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni